Kesha la Asubuhi,Jumamosi na Jumapili,Agosti 2016
Agosti 20 Kristo Ndiye Njia Yetu Pekee Kumfikia Baba Naye,kwa sababu hii , aweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwayeye; maana yu hai siku zote i l i awaombee. Waebrania 7:25. Mungu anapatanishwaje na watu? — Kwa kazi na ustahilifu wa Yesu Kristo, ambaye aliondooa kila kitu ambacho kingeingia kati ya mwanadamu na upendo wa Mungu unaosamehe. Sheria ambayo mtu ameivunja haibadilishwi ili kumfikia mwenye dhambi katika hali yake ya anguko katika dhambi, lakini imedhihirishwa kama nakala ya tabia ya Yehova, -- mwakilishi wa mapenzi ya mtakatifu, -- na inatukuzwa na kukuzwa katika maisha na tabia ya Yesu Kristo.Licha ya hivyo, njia ya wokovu imetolewa; kwani Mwãna-Kondoo wa Mungu ...